CCM yafikisha wanachama milioni 13

 


MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan ambaye pia ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, sasa rasmi kimefikisha wanachama 13,000,670,
Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amewashukuru Watanzania Kwa kuendelea kuiamini na kuiunga mkono CCM.

Akiongea katika Mkutano mkuu maalum wa CCM Jijini Dodoma ulioitishwa ukiwa na agenda kuu tatu amesema CCM ndio chama chenye wanachama wengi na hai hapa Tanzania kuliko chama kingine chochote.

No comments