MNYETI APANDISHWA KIZIMBANI
Mbunge wa Misungwi, Alexander Mnyeti amesomewa Mashtaka Mahakamani kwa kosa la Matumizi mabaya ya madaraka.
Imesemwa Mahakamani Mbele ya Jaji John Kahyoza kwamba, Ndugu Mnyeti akiwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara aliinyang'anya Kitalu cha Uwindaji kampuni ya HSK SAFARIS LTD ya wilayani Simanjiro kinyume kabisa cha Sheria za Nchi na kuisababishia hasara kubwa.
Wakati akifanya unyang'anyi huo imetajwa kuwa alishirikiana na Belinda Sumari, anayetambulika kama Ofisa Mtendaji wa Kata ya Emboreet na Salehe Alamry ambaye hakutajwa cheo chake.
Mnyeti anatetewa na Wakili Kuwengwa Ndojekwa, ambaye ameiomba Mahakama ikubali Serikali ya Tanzania nayo iunganishwe kwenye kesi hiyo kwa vile alitenda unyang'anyi huo akiwa Mkuu wa Mkoa.
Imesemwa Mahakamani Mbele ya Jaji John Kahyoza kwamba, Ndugu Mnyeti akiwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara aliinyang'anya Kitalu cha Uwindaji kampuni ya HSK SAFARIS LTD ya wilayani Simanjiro kinyume kabisa cha Sheria za Nchi na kuisababishia hasara kubwa.
Wakati akifanya unyang'anyi huo imetajwa kuwa alishirikiana na Belinda Sumari, anayetambulika kama Ofisa Mtendaji wa Kata ya Emboreet na Salehe Alamry ambaye hakutajwa cheo chake.
Mnyeti anatetewa na Wakili Kuwengwa Ndojekwa, ambaye ameiomba Mahakama ikubali Serikali ya Tanzania nayo iunganishwe kwenye kesi hiyo kwa vile alitenda unyang'anyi huo akiwa Mkuu wa Mkoa.
Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
Taratibu tutaelewana
Kennedy
JF-Expert Member
Ngoma NgumuKinana Vs Sukumas gang
SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
KUMEKUCHAAAA
Bado mmoja sijamsikia ,akikokotwa kwa mahakama,anaye mjua amtaje🤔Mbunge wa Misungwi , Alexander Mnyeti amesomewa Mashtaka Mahakamani kwa kosa la Matumizi mabaya ya madaraka .
Imesemwa Mahakamani Mbele ya Jaji John Kahyoza kwamba , Ndugu Mnyeti akiwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara , aliinyang'anya Kitalu cha Uwindaji kampuni ya HSK SAFARIS LTD , ya wilayani Simanjiro kinyume kabisa cha Sheria za Nchi na kuisababishia hasara kubwa.
Mnyeti anatetewa na Wakili Kuwengwa Ndojekwa , ambaye ameiomba Mahakama ikubali Serikali ya Tanzania nayo iunganishwe kwenye kesi hiyo , Kwa vile Mnyeti alitenda unyang'anyi huo akiwa Mkuu wa Mkoa .
Chanzo :Mwananchi
Angalizo : KILA UBAYA UTALIPWA
johnthebaptist
JF-Expert Member
Ni jambo jema
Charles Mandela
JF-Expert Member
Ngoma ngumu kafanya nini wakati tayari JIWE alishatutoka siku nyingi 😂Ngoma Ngumu
Prince Kunta
JF-Expert Member
Bado kwenye madini uyo jamaa kakwapua sana alivyokuwa mkuu wa mkoa
Na makucha yake 😂KUMEKUCHAAAA
Kinyungu
JF-Expert Member
Kulwa Jilala njoo. Akitoka Sabaya jela anaingia mnyeti
Pascal Mayalla
Platinum Member
Hii ni kesi ndogo sana ya madai na sio kesi ya jinai!, soon tutapitisha sheria, vikesi kesi vya aina hii vianzie kwenye usuluhishi, usuluhishi ukishindikana ndipo kesi iende mahakamani.
P
P
SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
Sukuma Gang mtanyooka tu mwaka huu, Msoga Gang nyoosha hawa wahamiaji kharam.
SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
MakondaBado mmoja sijamsikia ,akikokotwa kwa mahakama,anaye mjua amtaje🤔
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
Hizo kesi hizo!!!
Ngoja zije ziibuke zile ngumu kumeza zile!!!
Tuone maajabi yake!
Ngoja zije ziibuke zile ngumu kumeza zile!!!
Tuone maajabi yake!
Na ikitokea ametoka huyo yupo mwingine wa kuokota mahakamani,😂Kulwa Jilala njoo. Akitoka Sabaya jela anaingia mnyeti
Erythrocyte
JF-Expert Member
Basi sawa ndugu Wakili ambaye hujawahi kushinda hata kesi ya mihogoHii ni kesi ndogo sana ya madai na sio kesi ya jinai!, soon tutapitisha sheria, vikesi kesi vya aina hii vianzie kwenye usuluhishi, usuluhishi ukishindikana ndipo kesi iende mahakamani.
P
900 Inapendeza zaidi
JF-Expert Member
Nitashanga hapa kama hapatatimia usemi wa kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake au kilammoja ashinde mechi yake,halafu utawasikia wahuni wakisema marehemu asitajwe, yaani nasema atatajwa sana na badoMbunge wa Misungwi , Alexander Mnyeti amesomewa Mashtaka Mahakamani kwa kosa la Matumizi mabaya ya madaraka .
Imesemwa Mahakamani Mbele ya Jaji John Kahyoza kwamba , Ndugu Mnyeti akiwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara , aliinyang'anya Kitalu cha Uwindaji kampuni ya HSK SAFARIS LTD , ya wilayani Simanjiro kinyume kabisa cha Sheria za Nchi na kuisababishia hasara kubwa.
Wakati akifanya unyang'anyi huo imetajwa kuwa alishirikiana na Belinda Sumari , anayetambulika kama Ofisa Mtendaji wa Kata ya Emboreet na Salehe Alamry ambaye hakutajwa cheo chake .
Mnyeti anatetewa na Wakili Kuwengwa Ndojekwa , ambaye ameiomba Mahakama ikubali Serikali ya Tanzania nayo iunganishwe kwenye kesi hiyo , Kwa vile Mnyeti alitenda unyang'anyi huo akiwa Mkuu wa Mkoa .
Chanzo :Mwananchi
Angalizo : KILA UBAYA UTALIPWA
ras jeff kapita
JF-Expert Member
Ngoma ya watoto hii haikeshi....
itatupwa mbali.....
Ni kama vile wakati ule unashadadia kesi kwa Bashite kikowapi!!..?
cdm tafuteni sera za maendeleo
itatupwa mbali.....
Ni kama vile wakati ule unashadadia kesi kwa Bashite kikowapi!!..?
cdm tafuteni sera za maendeleo
Similar Discussions
- Rufaa ya Saed Kubenea dhidi ya Makonda yaanza yatajwa Mahakamani
- Started by Erythrocyte
- Replies: 38
- Uhusiano ovu (unholly alliance) baina ya Alexander Mnyeti na wakili Mutalemwa Kishenyi
- Started by waziri2020
- Replies: 2
- Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka
- Started by Fundi Madirisha
- Replies: 435
- Paul Makonda kufikishwa Mahakamani Februari 3, 2022 katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka
- Started by telegram
- Replies: 219
- Korea Kusini: Rais aliyefungwa kwa matumizi mabaya ya madaraka asamehewa
- Started by Analogia Malenga
- Replies: 1

Post a Comment