SERIKALI YATAMBUA UWEPO WA MWANASOKA KINDA ULAYA

 Mtanzania Barka Seif Akiendelea Kuonyesha Mavitu Ya Kiufundi Ndani Ya  Academy Ya Lagu MP3 - MP3 Dragon

WAKATI Serikali ikiwa na mpango wa kujenga Sports Arena Dar es salaam na Dodoma, vituo vya michezo na hivyo kuhamasisha sekta binafsi, imesema inatambua uwepo wa mwanasoka kinda, Baraka Seif barani Ulaya kwa majaribio.

“Tunae Bwana Mdogo hivi ninavyozungumza anapita Ulaya huko, anaitwa Baraka Seif ana miaka saba tu tayari ameshakwenda Uholanzi, Ubelgiji anakwenda sasa Hispania, kituo chake kile kinaitwa Magnet Academy kipo hapa Tanzania kinafanya vizuri, Baraka ni juhudi binafsi za Mzazi wake tunampongeza sana na kituo chake kinachomuandaa tunakipongeza,” amesema Gerson Msigwa, Msemaji wa Serikali ya Tanzania. 

 

No comments