MSIKIE MSANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA JUX AKIMZUNGUMZIA EX WAKE VANESSA MDEE

 Inaweza kuwa picha ya Watu 2 na watu wanasimama

 

"KWANZA siYo kweli, kipindi kile tulikuwa tunafanya wote kazi, sio ulikuwa ni muda ambao sio tayari, mimi mwenyewe sikuwa tayari, yeye mwenyewe (Vanessa Mdee) alikuwa anafanya kazi zake sana, hatukuwahi kufikia kwenye hiyo hatua,"

"Na tulikuwa tunaamini kama hiki kitu kitatokea kitaturudisha nyuma kwenye focus ya kazi, hivyo muda utakapofika kila kitu kitakuwa sawa lakini sisi tunapanga na Mungu anapanga,"

"Nataka kuwa na mtoto na mtu sahihi, tatizo sio kuwa na mtoto, bali unakuwa na mtoto na nani, namshukuru Mungu nina riziki, nina uwezo wa kumuhudumia kila kitu lakini tatizo linakuja nani anakuja kuwa mama wa mtoto"

 

No comments