SIKIA HII KALI KUMHUSU RAIS MACRON WA UFARANSA

 FB_IMG_1630211069780.jpg

Ulishawahi kusikia japo kwa uchache kuhusu Emanuel Macron Rais wa sasa wa ufaransa? Je ushawahi kusikia kuhusu mke wake?

Ni hivi Rais Emanuel Macron wa ufaransa ana miaka 43 ndio rais kijana kuliko maraisi wote waliowahi kuiongoza ufaransa

Emmanuel Macron alianza kumpenda mwalimu wake wa darasani aliyeitwa rigitte Trogneux, kipindi hicho Emanuel Macron akiwa na miaka 15 huku Mwalimu rigitte Trogneux akiwa na miaka 39

Lakini Walianzisha mahusiano yao rasmi baada ya Emanuel Macron kutimiza miaka 18....licha ya jitihada mbalimbali zilizofanywa na wazazi wa Emanuel Macron ili waweze kuwatenganisha wasiwe kwenye mahusiano lakin hawakufanikiwa

Ukumbuke binti wa Mwalimu rigitte Trogneux alikuwa anasoma darasa moja na Emanuel macron.... Hebu vuta taswira yaan mtu unasoma darasa moja nae halafu ndio mpenz wa mama yako mzazi

Mwaka 2006 Mwalimu Rigitte Trogneux aliachana na mume wake na mwaka 2007 aliolewa na Emanuel Macron ....huku Rigitte Trogneux akiwa na watoto watatu kati ya hao wapo waliomzidi umri mumewe wakati Emanuel macron hana mtoto hata mmoja

Emanuel Macron amezidiwa miaka 24 na mke wake huyo

Emanuel Macron amezidiwa miaka 3 na mtoto wa Kwanzaa wa mke wake

No comments