ISHU YA MTO NILE...MISRI YASALIMU AMRI KWA ETHIOPIA, YAIGEUKIA KONGO DRC

 Screenshot_20210826-213113.png

BVAADA ya Ethiopia kukaza uzi na kuendelea na harakati zake za kuyatumia ipendavyo maji ya Mto Nile, Misri ambayo kwa asilimia zote inayategemea maji ya mto huo kwa uhai wake, sasa imeigeukia Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, DRC.

Huko, Misri inapeleka mamilioni ya dola ili iweze kuruhusiwa kuchepusha maji yatokayo Mto Kongo ili yakaungane nba yale machache yanayobakia ya Mto Nile ili kuilisha nchi yao.

No comments