NI KWELI UNAJUA, ILA WAJUZI WANAKUJUZA ZAIDI

KAMA unadhani wewe ni mjuzi wa mambo mengi, yapo mengine huenda hauyajui, kama
mjuzi huyu anavyokuambia kuwa kila mtu duniani, ana miti 400 kibindoni!
Unashangaa? Unajiuliza hiyo miti iko wap?
Ni hivi hadi 2020 dunia ilikuwa na miti trillion 3.04
Kwani ukiigawa kwa watu billion 7 ina maana kila mtu ana uhakika wa kupata miti
400
Kama ulikuwa hujui ni hivi dunia nzima ina ukubwa wa eneo
148,940,000,000,000.00000000000000000000 m²
Na ni ⅛ tu ya eneo la dunia ndio inatumiwa na binadamu ambayo ni sawa na
18,618,000,000,000 m²
Kwahyo usishangae nikikwambia kuwa kuna miti trillion 3.04 na kila mmoja hapa
anaweza kupewa miti 400 na miti mingine ikabaki
Lakin licha ya hayo ni kuwa nchi kama Singapore na Saudi Arabia nchi mwao peke
wakiamua kukata miti kugawa kila mmoja hatopata mti zaidi ya mmoja
Wakati nchi ya Urusi wakiamua kukata miti yao kila raia wa urusi anaweza kupata
zaidi ya miti elfu 4
Chanzo JF.

Post a Comment