MWANDOSYA ASHAURI JAMII KUBADILIKA

MWANASIASA mkongwe nchini, Mark Mwandosya, ameitaka jamii ya Kitanzania kubadilika, kwa kuacha tabia ya kuchangiana ndoa pekee na badala yake, kuchangiana pia katika masuala muhimu kama vile ada za shule kwa watoto wao.
Kupitia akaunti yake kwenye mtandao wa facebook, Mwandosya, aliyepata kuwania ridhaa ya chama chake (CCM) ili awe mgombea wake wa urais, aliandika....


Post a Comment