MIQUISSONE ATAMBULISHWA RASMI AL AHLY, KULIPWA MILIONI 92 KWA MWEZI


Inaweza kuwa picha ya Mtu 1

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba, raia wa Msumbiji, Luis Miquissone ametambulishwa rasmi kama mchezaji wa Al Ahly ya Misri.

Mara tu baada ya utambulisho huo, mitandao mbalimbali imeripoti kwamba Miquissone atakuwa analipwa mshahara kati ya USD 40,000 hadi 50,000 (Tsh Milioni 92 - milioni 115) kwa mwezi

No comments