MBUNGE WA UKONGA KUTINGA BUNGENI CHINI YA ULINZI LEO


Musa Pambeje - Jerry Slaa amepitishwa na Chama cha Mapunduzi kugombea  ubunge Jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam. | Facebook

MBUNGE wa Ukonga kwa tiketi ya CCM, Jerry Silaa leo anatazamiwa kupelekwa mbele ya Tume ya Maadili ya Bunge akiwa chini ya ulinzi mkali wa Polisi.

Silaa ambaye alishindwa kutokea mbele ya tume hiyo ili kuhojiwa juzi, ataongezewa mashtaka zaidi na kuwa matatu ambayo ni kusema uongo, kuvunja heshima ya Bunge na kudharau wito wa Kamati ya Kaki, Maadili na Madaraka ya Bunge.

No comments