TETESI TSHABALALA ASAINI MITATU SIMBA

Inaweza kuwa picha ya Mtu 1, anacheza spoti, amesimama na nyasi


TETESI zimeanza kusambaa kuhusu nia ya kuondoka klabuni kwa nahodha msaidizi, Mohammed Hussein Zimbwe Jr wa Simba. Lakini katikati ya tetesi hizo, baada ya CEO wa klabu hiyo, Barbara Gonzalez kukanusha habari hizo, zimeibuka mpya kwamba beki huyo nyota wa kushoto, amesaini mkataba mpya wa miaka mitatu.

Kwa mujibu wa habari hizo, thamani ya mkataba huo ni milioni 420, huku mshahara wake sasa ni milion 10 kwa mwezi na Milioni 60 kama ada ya mkataba mpya

 


No comments