RAIS SAMIA AKUTANA NA KATIBU MTENDAJI SADC

 Tax.jpg


RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Ikulu jijini Dodoma, amekutana na kufanya mazungumzo na  Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC Dkt. Stergomena Lawrence Tax.

 

No comments