Ratiba ya kumuaga Mheshimiwa Lowassa yatolewq
Tarehe 13.02.2024 Jumanne - Ibada na Kuaga mwili, Karimjee (Kiserikali)
Tarehe 14.02.2024 Jumatano - Ibada, Azania Front (Kidini)
15.02.2024 Alhamis - Mwili wa Hayati Lowassa kusafirishwa kwenda Arusha.
- Kuaga Sheikh Amri Abeid
- Kuelekea (Monduli)
16.02.2024 Ijumaa - Ibada na kuaga mwili (Monduli)
17.02.2024 Jumamosi - Ibada ya Mazishi (Ngarash-Monduli)

Post a Comment