Tarehe 12 February 2024 mheshimiwa Rais Samia Hassan katika msafara wake pia ameamua ataongozana na makundi ya umoja wa Wanawake Wa Katoliki WAWATA, umoja wa Vijana Wakatoliki na Halmashauri ya Walei katika mazungumzo hayo na Papa Francis, ameeleza mheshimiwa waziri January Makamba
Post a Comment