MSD YAANZA KUSAMBAZA VYANDARUA SHULE ZA MSINGI SINGIDA

 

kuu wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kampeni ya ugawaji wa vyandarua katika shule za msingi mkoani humo uliofanyika Oktoba 24, 2023.. Wengine kutoka kushoto ni Meneja MSD Kanda ya Dodoma, Mwanashehe Jumaa, Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Suleiman Mwenda, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida, Victorina Lodovick na Mwakilishi wa Meneja Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Malaria kutoka Wizara ya Afya , Theresia Shirima. Vyandarua hivyo vitasambazwa na MSD katika shule hizo.




No comments