MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA KIWANDA CHA TANWAT NJOMBE
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na kaimu mkurugenzi wa Kiwanda cha Tanganyika Wattle (TANWAT) Bw. Hemasundar Raju wakati alipowasili katika Kiwanda hicho cha uchakataji wa bidhaa za mbao kilichopo Kibena mkoani Njombe.

Post a Comment