YANGA YAPIGWA FAINI MILIONI 11.5 NA CAF

 YuzoSports - Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Dr.Mshindo Msola... | Facebook

KLABU ya Yanga SC imepigwa faini ya USD 5000 (Tsh milioni 11.5) na Shirikisho la soka Afrika (CAF) kutokana na kukiuka baadhi ya taratibu ikiweko kuingiza mashabiki tofauti na maagizo ya kanuni za corona kutoka CAF, kosa jingine ni kushambuliwa kwa mmoja kati ya Viongozi wa Timu ya Rivers United ya Nigeria ambae inadaiwa alishambuliwa na mmoja wa walinzi wa uwanjani kabla ya mechi vs River United iliyochezwa Dar es salaam

No comments