WAZUIWA KUMUONA MBOWE UKONGA
ZIPO taarifa kuwa
watu waliokuwa wamekwenda kumuona Freeman Mbowe aliyeko mahabusu katika gereza
la Ukonga wamezuiwa kumuona.
Mbunge wa zamani wa
Tarime, John Heche ameandika katika mtandao wake wa Twitter kuwa amezuiwa
kumuona na kuelezwa kuwa hayo ni maelekezo waliyopewa Jeshi la Magereza.

Post a Comment