SHERIA YA UDHIBITI UZITO WA MAGARI YA AFRIKA MASHARIKI YA MWAKA 2016 NA KANUNI ZAKE ZA MWAKA 2018 YAFUNGWA JIJINI DODOMA

 

Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Usalama na Mazingira, Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Ujenzi), Mhandisi Kashinde Mussa akifunga semina ya mafunzo kwa wadau wa usafirishaji (hawapo pichani), kuhusu Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya Afrika Mashariki ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 iliyofanyika katika ukumbi wa Hazina jijini Dodoma


Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya Afrika Mashariki ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 wakimsikiliza mgeni rasmi, Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Usalama na Mazingira, Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Ujenzi), Mhandisi Kashinde Mussa (hayupo pichani), wakati akifunga mafunzo hayo yaliyofanyika kwa siku moja katika ukumbi wa Hazina jijini Dodoma.

 

No comments