PIGO SIMBA: SAKHO KUWAKOSA WABOTSWANA

Kocha Mkuu wa Simba, Didier
Gomes amekiri atamkosa staa wake, Pape Sakho dhidi ya Jwaneng Galaxy FC ya
Botswana katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika Oktoba 17.
“Tupo tayari kwa mechi kubwa na
muhimu kwetu nimewaandaa wachezaji wangu vizuri, ili kuhakikisha tunaanza vyema
ugenini.”
“Pape Ousmane Sakho anajeraha
kubwa alilopata kwenye mchezo wetu na Dodoma Jiji hivyo itamchukua muda
kurejea, ila kwa wachezaji wengine ni matatizo ya kawaida." amesema Kocha
huyo aliyeifikisha Robo fainali Simba msimu uliopita

Post a Comment