OLE SABAYA AZIMIA KATIKATI YA USOMAJI HUKUMU

 Lengai ole Sabaya mahakamani leo - Mwananchi

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ambaye leo atahukumiwa kwa tuhuma zake za ujambazi, amepoteza fahamu wakati hakimu akiendelea kusoma hukumu yake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi jijini Arusha.

No comments