OLE SABAYA AZIMIA KATIKATI YA USOMAJI HUKUMU

ALIYEKUWA Mkuu wa
Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ambaye leo atahukumiwa kwa tuhuma zake za
ujambazi, amepoteza fahamu wakati hakimu akiendelea kusoma hukumu yake katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi jijini Arusha.

Post a Comment