MAPINGAMIZI YA MTOTO WA REGINALD MENGI YATUPILIWA MBALI

 Bongo News - #PICHA #KutokaMsibani: Abdiel Miku Mengi,... | Facebook


MAHAKAMA ya Rufani imetupilia mbali mapingamizi ya Abdiel Reginald Mengi na Benjamin Abraham Mengi (mdogo wa marehemu Mengi) dhidi ya maombi ya mapitio ya kesi kutoka kwa Jacqueline Ntuyabaliwe

Watu hao walimwekea Jacqueline pingamizi la awali la hoja za kisheria wakiiomba Mahakama iyatupilie mbali maombi yake wakieleza wosia haukidhi matakwa ya kisheria ili kuwa wosia halali

No comments