LENGAI OLE SABAYA KUHUKUMIWA LEO ARUSHA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha leo
Oktoba 15, 2021 itatoa hukumu ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha
inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya na wenzake
wawili baada ya hukumu ya Kesi hiyo kuahirishwa Oktoba Mosi mwaka huu.

Post a Comment