DR MPANGO ASEMA KUNA WANA CCM WANAHUJUMU MIRADI MIKUBWA NCHINI

MAKAMU wa Rais Dkt. Philip Mpango wakati akihitimisha ziara
yake mkoa wa Pwani ameeleza kusikitishwa kwake na taarifa alizozipata kuwa kuna
watu wakichochewa na baadhi ya viongozi wa CCM wanashiriki kuiba cement
inayotumika kwenye ujenzi wa bwawa la Nyerere na kuiba baadhi ya vifaa pia
kwenye mradi wa SGR!

Post a Comment