BRIGEDIA IBUGE AKIKAGUA UWANJA WA NDEGE SONGEA
MENEJA wa Kiwanja cha
ndege cha Songea Jordan Mchami (wa kwanza kulia) akitoa maelezo kwa Mkuu wa
Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge mwenye miwani wakati akikagua
maendeleo ya ukarabati wa uwanja huo. (Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya
Songea, Pololet Mgema.

Post a Comment