WAZIRI AWESU AWASILI BUKOBA, APOKEWA NA WAZIRI BASHUNGWA

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso
amewasili wilayani Bukoba mkoa wa Kagera tayari kwa kuiendeleza kazi,
amepokelewa na mwenyeji wake Mhe. Innocent Bashungwa Mbunge Karagwe na Waziri
Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Pamoja na ratiba maalum ya kuhudhuria fainali ya
Bashungwa Cup leo jioni wilayani Karagwe pia atatembelea miradi mbalimbali ya maji
ikiwa ni pamoja na chanzo cha mradi wa Maji Omururongo na ukaguzi wa mradi wa
maji mjini Kayanga.
Aidha Kesho Wilayani Misenyi atafika kukagua na
kujionea utekelezaji unaoendelea wa mradi mkubwa wa Maji Kyaka-Bunazi na mwisho
mradi wa maji Kemondo.

Post a Comment