SOKO LA KARIAKOO KUENDESHWA KIMATAIFA

MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson
Msigwa amesema “Kuhusu Soko la Kariakoo maandalizi yanaendelea ya kulikarabati
na kuliandaa lirudi baada ya ile ajali, tunataka Soko la Kariakoo lirudishwe
katika sura ya Soko la Kimataifa”
“Leo Rais Samia anapokea taarifa
juu ya maandalizi yanavyokwenda na juhudi mbalimbali tunataka Soko liendeshwe
kama yanavyoendeshwa Masoko mengine ya Kimataifa.”

Post a Comment