WATU TISA WAFARIKI NEW YORK NA NEW JERSEY MAFURIKO YAKILETA MAANA MAKUBWA

 New York City's historic floods from Ida send climate change message - Axios

 

WATU tisa wamepoteza maisha baada ya mafuriko kuyakumba maeneo ya New York na New Jersey kiasi kwamba gavana ametaka mnsaada wa haraka kutoka Serikali Kuu ya Marekani.

Phil Murphy, Gavana wa New Jersey amesema atatuma maombi mazito kwa Serikali Kuu ili kusaidia kurejesha hali ya kawaida.

 “Jambo hili litachukua muda kwa sisi kuweza kuliweka sawa, hakuna mjadala juu ya hili," alisema gavana huyo kwenye mkutano na wanahabari leo asubuhi.

 

·                          

 


No comments