NI MAPUMZIKO TAIFA STARS DHIDI YA DR KONGO


Simon Msuva | Facebook

 HADI sasa ni mapumziko, katika michuano ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia kati ya Tanzania na DR Kongo, ni 1-1 huko Lubumbashi. Bao la Stars ka kusawazisha limewekwa kimiani na winga wake wa kimataifa anayecheza Morocco, Simon Msuva dakika 35

No comments