WAKIMBIZI KUTOKA AFGHANISTAN WAKATALIWA KWA MANDELA

 Jewish groups urge government to come up with refugee plan for Afghanistan  - The Jewish Chronicle

HUKU hali ya usalama katika taifa laoi ikiwa bado tete kutokana na kundi la wanamgambo wa Taliban kuchukua madaraka, wakimbizi kutoka Afghanistan ambao wametapakaa dunia nzima, wamekataliwa nchini Afrika Kusini.

Taifa hilo imara zaidi kiuchumi barani Afrika, limesema haliwezi kuchukua jukumu hgilo kwa vile lina idadi kubwa ya wakimbizi wengine wanaohitaji kuhudumiwa vyema.
Idara ya Uhusiano wa Kimataifa imesema wakimbizi wanaweza kuhudumiwa vyema katika Nchi za kwanza walizowasili ambapo wengi wapo Pakistan.

Uganda na Rwanda ndizo nchi pekee za Afrika zilizokubali kuwapokea wakimbizi toka taifa hilo ambalo limeishi kwa vita kwa miaka mingi sasa.

 

No comments