MAMA WA WAZIRI ALIYEFARIKI NAYE AFARIKI
FLORA Andrea ambae ni Mama mzazi wa
aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa amefariki
akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga.
Kifo chake kimetokea mwezi mmoja tu tangu kufariki kwa Mtoto
wake ambae alikua Waziri wa Ulinzi Tanzania Elias John Kwandikwa.
Mwanafamilia ambae pia alikua Katibu
wa Kwandikwa Julias Lugobi amesema marehemu alikuwa akisumbuliwa na tatizo la
mapafu na alilazwa katika hospitali kwa muda wa wiki moja.

Post a Comment