VITA YA WATANI YAHAMIA KWENYE JEZI, VUNJABEI AIPAISHA JEZI YA MNYAMA

SIKU chache baada ya mabingwa wa
kihistoria, Yanga kiuzinbdua jezi ambazo walidai ni kali 'dunia nzima', leo
muuzaji rasmi wa jezi za Simba, Fred Ngajiro maarufu kama Vunjabei, ameibuka na
kusema .."Tutazindua jezi nzuri sana, tutakuwa na jezi za aina tofauti
sana kulinganisha na timu zingine za ndani, baada ya uzinduzi jezi zitakuwepo
kwenye maduka yote ya Vunja Bei na tutauza masaa 24,” CEO wa kampuni ya Vunja
Bei, Fred Ngajiro.

Post a Comment