PINGAMIZI LA MBOWE LATUPWA MAHAKAMANI, MAWAKILI WAKE WAWEKA PINGAMIZI JIPYA

 Leo_Sept.Mosi%2C_2021_Mhe_%40freemanmbowetz_akifurahi_jambo_na_Mawakili_wanaomtetea_katika_kes...jpg

PINGAMNIZI lililowakilishwa na mawakili wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe la kupinga Mahakama Kuu Division ya Makosa ya Uhujumu Uchumi kusikiliza kesi ya Ugaidi, limetupwa.

Kwa maana hiyo, Mahakama hiyo sasa inaweza kuendelea na kesi hiyo.

Hata hivyo, Mawakili wa Mbowe wameweka pingamizi jipya, ambalo linapinga hati ya mashtaka kutokidhi vigezo vya kisheria.  Mahakama imekubali kusikiliza pingamizi hilo.

No comments