ULINZI MKALI USIKILIZWAJI KESI YA MBOWE LEO

 Mhe._@freemanmbowetz_akiwasili_Mahakama_Kuu_Division_ya_Makosa_ya_Uhujumu_Uchumi_na_Rushwa_Leo...jpg

WAKATI Mahakama ikitarajiwa kutoa uamuzi leo juu iwapo Mahakama ya Ufisadi ina uwezo wa kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, hali ya ulinzi imeimarishwa maradufu katika eneo la Mahakama hiyo iliyopo karibu na Shule ya sheria maeneo ya SIMU2000 Ubungo.

Milango ya geti la kuingilia mahakama hapo imefungwa na hakuna mtu anayeruhusiwa kuingia.

 

No comments