TALIBAN YAONESHA VIFAA VYAKE VYA KIJESHI

 Taliban Takeover of Afghanistan Celebrated by Extremists on Social Media -  WSJ

KUNDI la Talibani limeendelea kusheherekea kuchukuwa udhibiti kamili katika nchi ya Afghanistan 

Video inaonyesha kundi hilo likiwa na vifaa vyake vya kijeshi pamoja na vile walivyoteka katika mji wa Kandahar. 

Miongoni mwa vifaa hivyo ni pamoja na magari ya kijeshi helkopta, vifaru nk.

Hatua hiyo ni baada ya serikali ya Marekani kuondoa vikosi vyake nchini humo.

No comments