RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA ANGEL MIKEL WA UJERUMANI KWA SIMU

 Samia Suluhu Hassan - Tanzania's new president challenges Covid denial -  BBC News

RAIS Samia Suluhu Hassan  wa Tanzania, leo Septemba Mosi, 2021 amefanya mazungumzo na kiongozi wa Ujerumani, Kansela Angel Mikel kwa njia ya simu, akiwa Ikulu jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Idara ya Mawasiliano Ikulu, viongozi hao wawili wamepongezana kwa juhudi mbalimbali wanazochukua katika kuimarisha uhusiano wa nchi mbili hizi.

20210901_212245.jpg


No comments