KIRUSI KIPYA CHA CORONA CHACHUNGUZWA, CHAWEZA KUWA SUGU KWA CHANJO

 Covid: Why is coronavirus such a threat? - BBC News

SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) linachunguza aina mpya ya Kirusi cha Corona kinachofahamika kama Mu au B.1.621 ambacho kwa mara ya kwanza kiligundulika Januari 2021 Nchini Colombia

Kwa mujibu wa WHO, Kirusi hicho kina mabadiliko yanayoashiria kinaweza kuwa sugu kwa Chanjo, lakini tafiti zaidi zinahitajika ili kuchunguza hilo.

No comments