MAITI SITA ZAOKOTWA MSITUNI KISARAWE, MADIWANI WAJA JUU

 KARIBU MSITU WA HIFADHI... - Tanzania Forest Services Agency

 

WAKATI hali ya amani nchini kwa ujumla ikitaarifiwa kuwa ni nzuri, Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani wameiomba kamati ya ulinzi na usalama mkoani humo kukomesha matukio ya utupaji maiti katika msitu wa Pugu Kazimzumbwi, ambapo Julai hadi Agosti maiti sita zimekutwa kwenye msitu huo.

Chanzo: East Africa TV

No comments