KUMBE KUSHUSHA TOZO NI ZUGA TU, KODI YA MITANDAONI YAJA

 New Bill seeks to give minister power to grant tax exemption - The Citizen


 

SIKU chache baada ya Waziri wa Fedha, Dkt Mwigulu Nchemba kushusha toizo za miamala ya simu na ada za mitandao ya siku, kiongozi huyo amesema yeye na Timu yake ya Wataalamu wanaendelea kujadiliana kuhusu namna ya kuweka Kodi kwenye Application za Mitandao ya Kijamii.

Amesema Ofisi za Mitandao hiyo hazipo hapa nchini lakini zinapata Hela nyingi sana kila unapoingia kwenye Mitandao hiyo wao wanapata Hela hivyo Serikali inaangalia jinsi ya kuweka Tozo kwenye Mitandao hiyo ili ijikusanyie Hela za kufanya Maendeleo.

Amesisitiza kuwa Serikali inaleta Maendeleo kwa kutegemea Kodi, usipolipa Kodi Nchi haiwezi kuendelea unakuwa unakwamisha Maendeleo.

 

No comments