WAZIRI MKUU WA ZAMANI MALI MBARANO KWA UFISADI

 Soumeylou Boubèye Maïga sous mandat de dépôt | Afrique | DW | 26.08.2021

ALIYEKUWA Waziri Mkuu wa Mali, Boubèye Maïga, amekamatwa kwa tuhuma za ufisadi wakati wa manunuzi ya ndege ya Rais miaka kadhaa iliyopita.

Anadaiwa kuhusika kwenye kuongeza gharama na ndege ya Rais ambayo ilinunuliwa kwa Dola za Marekani Milioni 40. Alikuwa Waziri Mkuu kati ya mwaka 2017 hadi 2019 ambapo alijiuzulu kutokana na ongezeko la matukio ya ghasia na vurugu nchini humo.


No comments