MAN UNITED WAINGILIA KUMTAKA RONALDO

WAKATI dalili zote zikionyesha kuwa mshambuliaji nyota wa Juventus Cristiano Ronaldo anaelekea Etihad kwa Man City, ghafla habari zimeibuka kuwa kocha wa Man United, Ole Gunnar Solskjaer, naye anamtaka.
Ronaldo ambaye aliwahi
kucheza na kocha huyo wakiwa United, ameshamweleza kocha wake wa Bibi Kizee wa
Turin kuwa hataki tena kuichezea timu hiyo aliyodumu nayo kwa miaka mitatu
akitokea Real Madrid.

Post a Comment