WAMLILIA MAMA SAMIA UOZO RELI YA TAZARA

 IMG_20210827_133315_5.jpg


ABIRIA wanaotumia Reli ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) upande wa Tanzania, wamemlilia Rais Mama Samia Suluhu Hassan , wakimtaka kulimulika shirika hilo, kwani linaenbdeshwa kizembe kiasi cha kuwasababishia hasara kubwa.

Abiria hao wakiwemo wafanyabiashara, wamesema mojawapo ya mifano ya uozo huo, ni ratiba ya safasi ya jana Ijumaa, Agosti 27, 2021 ambapo walitakiwa kusafiri saa tisa alasiri, lakini ghafla ratiba ikabadilishwa na wao kutakiwa kuondoka saa tano usiku.

No comments