UKIWA NA MTOTO GAIDI, HESABU MAUMIVU- IGP SIRRO

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro wakati
akitoa salamu za jeshi la polisi kwenye msiba wa polisi waliouawa na jamaa aliyejulikana
kwa jina la Hamza, ametoa wito kwa jamii kuwa makini na watoto wao kwani kama
ikitokea ukawa na mtoto gaidi na anayefanya mambo ya hovyo hovyo kama aliyokuwa
anafanya Hamza andika maumivu kwani vyombo vya usalama vikimpata hatabaki
salama.

Post a Comment