SPIKA NDUGAI AOMBA RADHI WAKRISTO KWA KAULI POTOFU

 Why we passed new media laws', Job Ndugai - The Citizen

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amewaomba radhi wakristo kote nchini, kufuatia kauli yake potofu ambayo alisema ni makosa ya kibinadamu.

Awali, Ndugai alisema Yesu alitembea pamoja na mkewe kuelekea Nazareti, lakini katika maelezo yake, alisema alimaanisha Yusufu na si Yesu.


14.jpg

No comments