GWAJIMA, SLAA WAADHIBIWA NA KAMATI YA BUNGE

 Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa Akwepa Mtego wa Polisi | UDAKU SPECIAL

WABUNGE wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Josephat Gwajima na Jerry Silaa ambao walishtakiwa mbele ya Kamati ya Bunge kutokana na kutoa kauli tata, wameadhibiwa kwa kutotakiwa kuhudhuria mikutano miwili ya Bunge lililoanza vikao vyake leo mjini Dodoma.

No comments