SAMATTA KUIKOSA MECHI YA EUROPA LEO
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa
Tanzania na klabu ya Fenerbahce ya Uturuki, Mbwana Samatta leo anatarajia
kuukosa mchezo wa kufuzu Ligi ya Europa dhidi ya HJK kutokana na klabu yake
kutojumuisha jina lake katika usajili wa awali wa michuano ya Europa. Fenerbahce
inakabiliwa na changamoto ya kubanwa na kanuni za FFP

Post a Comment