RONALDO ASUBIRI KUREJEA MAN UNITED AKIWA KATIKA MJENGO WAKE WA BEI MBAYA JIJINI LISBON

 

Rodriguez (left) has since returned to Turin, while Ronaldo gears up for the latest international break with his country

WAKATI mashabiki wa soka wakisubiri Cristiano Ronald kujiunga na Man United akitokea Turin kwa Juventus, mkali huyo wa mabao amepumzika katika mjengo wake wa bei mbaya jijini Lisbon.

Mjengo huo una thamani ya pauni milioni sita, sawa na pesa ya madafu bilioni 18, ambao una kila kitu ndani na kwa mujibu wa majirani, staa huyo hana mbwembwe na hawajawahi kusikia watu wakila bata kwa pati kama mamilionea wengine wanavyofanya.

No comments