ATC IKO MAHUTUTI, INAKARIBIA KUFA -PAC

 Air Tanzania expansion on course as country receives Dreamliner - The East  African

 

KAMATI ya fedha ya Bunge imesemna Shirika la ndege Tanzania, ATC liko mahututi na linakaribia kufa kutokana na madeni.

Makamun Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha ya Bunge, Japhet Hasunga, ametoa tamko rasmi kwamba shirika la ndege la Tanzania ATCL liko mahututi na litakufa hivi karibuni.

"Ukichukua madeni yote ya ATCL, yanayofikia 472.8bln/-, na mtaji wa mali za shirika ambazo ni 256.2bln, na ukatoa thamani ya madeni toka madeni toka mtaji, wanabaki na mtaji ambao ni deni wa 216.6bln, hii ni dalili kwamba ATCL iko mahututi na itakufa hivi karibuni"


No comments