GOLIKIPA WA WAPINZANI AMPA MESSI MWANAE APIGE NAYE PICHA

JANA ilikuwa ndiyo
mechi ya kwanza kwa Lionel Messi akiwa na timu yake mpya ya PSG katika mchezo
ambao alicheza kwa dakika 24 tu. Lakini hata hivyo, licha ya PSG kucheza na
Reims, mashabiki wa timu hiyo ya upinzani walimshangilia sana staa huyo wa
Argentina.
Baada ya mpira
kumalizika, mlinda mlango wa Reims, Predrag Rajkovic alimpa Messi mwanae na
kisha akatumia simu yake kuwapiga picha.

Post a Comment