PERFECT CHIKWENDE, MEDDIE KAGERE WATOLEWA KWA MKOPO

 

Inaweza kuwa picha ya Watu 2, watu wanacheza kandakanda na nyasi

 

WACHEZAJI wawili wa kimataifa wa klabu ya Simba, Perfect Chikwende na Meddie Kagere wametolewa kwa mkopo.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya Simba, wachezaji hao wametolewa baada ya kuafikiwa na kocha wao Mfaransa, Didier Gomes da Rosa.

Kagere atarejea nyumbani kwao Rwanda kujiunga na APR na Chikwende pia atarejea Zimbabwe kujiunga na klabu yake ya zamani, FC Platinum.

 

No comments